Tunashuti sherehe mbali mbali na tuna shuti video aina zoote Ze Make Official Entertainment

6 Apr 2014

PENNY AVUNJA UKIMYA NA KUAMUA KUFUNGUKA "MAPENZI YA SIRI MIYE SIYAWEZI"

PREZENTA wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa siku zote hawezi kudumu katika penzi la siri.
 
Prezenta wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ katika pozi.
Penny alifunguka hayo alipokuwa akizungumza na paparazi wetu na kuainisha kuwa tangu amwagane na Diamond (Nasibu Abdul) ambaye kila mtu alikuwa anamjua, bado hajabahatika kuwa na mtu mwingine.
 
“Bado nipo nipo sana na kama ujuavyo, mimi siwezi kuyaficha mapenzi kama  nimepata mpenzi wala haichukui muda kila mtu atajua tu,” alisema Penny.

GPL

No comments:

Post a Comment

 

Luka Lee ft Young Rafa

Live Score

oka d ft jos p