Msanii wa Kizazi kipya anayefanya muziki wa miondoko ya Bongo fleva nchini Tanzania Leo amebahatika kufanya show ndani ya Mkoa wa Lindi katika Ukumbi wa Usiku ujulikanao kama Paris Club.Msanii huyo alipanda stejini na kuwatumbuizwa wapenzi wa Miondoko hiyo waliojitokeza kushuhudia show hiyo naye aliwapa kile wanachostahili kupewa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment