Tunashuti sherehe mbali mbali na tuna shuti video aina zoote Ze Make Official Entertainment

25 Feb 2014

TETEMESHA RECORDS WATAMBULISHA RASIMI MSANII MPYAAA BAADA YA SAJNA KUTANGAZA KUJITOA SOMA ZAIDI

 

Miaka mitatu nyuma wakazi na wapenda burudani wa Mwanza na kanda ya ziwa walimfahamu baada ya kuachia ngoma ya “So fine” akiwa chini ya usimamizi wa studio za Rock town records kwa mkataba usio rasmi,  anaitwa Baraka da Prince. Wiki hii CEO wa studio za Tetemesha Records Sandu George a.k.a Kidboy  ameamua kuweka wazi uhusiano wa msanii Baraka da Prince na Studio za Tetemesha Records.
 Nachukua fursa hii kumtambulisha msanii mpya wa Tetemesha Records. Anaitwa BARAKA da PRINCE kutoka Mwanza, lakini kwa sasa makazi yake ni Dar ambapo atakuwa hapa moja kwa moja kama makazi yake ya kudumu kikazi.

Amekua chini ya Tetemesha toka mwaka jana lakini kwa kawaida kabla ya kumtoa hadharani msanii mpya hua kuna utaratibu wa ndani katika hatua za kumuandaa ndio sababu ninamtambulisha sasa.
Tegemeeni Video na Audio muda si mrefu kutoka sasa, Video imefanywa na Nisher. Itatangulia kutoka video kisha baada ya wiki itafuata Audio.
 Mawasilano ya Barakah:
 Simu: 0714 321086
 Insta:  @barakah_daprince
Twitter: @barakahdaprince
FB: Barakah da Prince

Best Regards
Kidboy 

No comments:

Post a Comment

 

Luka Lee ft Young Rafa

Live Score

oka d ft jos p