




Gesti bubu inayotumika
Maafande
walipomhoji Semeni alisema vijana hao walimlipa shilingi 5,000 kila
mmoja na mmiliki wa eneo hilo aliyemtaja kwa jina moja la Babu walimlipa
shilingi 2,000.
Mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, aliwapongeza polisi kwa kufanikiwa kuwakamata baadhi ya vijana hao.


No comments:
Post a Comment